Mkurugenzi Mkuu wa Multichoice Tanzania Bw. Maharage Chande akishukuru Serikali kwa fursa ya kuunga mkono jitihada za kuendeleza michezo wakati wa hafla ya kuwaaga wanamichezo wanaokwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Brazil katika mashindano ya Olimpiki kwa mwaka 2016 leo Agosti 1, 2016.
|
No comments:
Post a Comment