New Dar es salaamu( 2016-2017)
THE HOUSE OF NEW BRAND
Tuesday, 5 July 2016
BIASHARA:PRIDE TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA 40 SABASABA
Muonekano wa banda la kampuni ya PRIDE Tanzania katika maonesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Moja ya bidha zinazotengenezwa na wajasiriamali wanaowezeshwa na PRIDE Tanzania.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Charles Mwijage (kushoto), akizungumza na wajasiriamali wa PRIDE Tanzania wakati maonesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam (kulia) alievaa tisheti nyeupe ni Afisa Undeshaji Mwandamizi PRIDE Tanzania, Jumanne Bundala.
Kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya PRIDE Tanzani, Profesa Wiliam lyakurwa, na kulia Meneja Mkuu PRIDE, Shimimana Ntayabaliwe wakimsililiza mjasiriamali mbunifu wa mavazi kutoka Zakwetu Afrika, Bi Asha Sendege wakati wa maonesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam
Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akitembelea banda la PRIDE Tanzania kujionea wajisiriamali wa PRIDE wakati wa maonesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akiangalia moja ya bidha kwa matumizi ya nyumbani zinazotengenezwa na wajasiriamali wa PRIDE.
Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akiangalia batiki zinazotengenezwa na wajasiriamali.
Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akiangana na wafanyaka wa PRIDE mara baada ya kutembelea banda hilo.
Meneja wa wa PRIDE Tawi la Kibaha, Bi Shani Madege akiwaelezea wananchi waliotembelea banda hilo kuhusiana huduma zinazotolewa na PRIDE.
Afisa Uendeshaji wa PRIDE Edward Ngw’andu akimuelezea mmoja wa wananchi juu ya faida za mkopo kwa mashariti nafuu.Wafanyakazi PRIDE Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja nje ya banda la Pride katika maonesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment