Bashir anatuhumiwa kwa mauaji ya kimbari,uhalifu dhidi ya binaadam pamoja na kusababisha vita katika jimbo la Darfur.
Amekuwa akikana mashikata hayo.
Bashir alisafiri kwenda Uganda na Djibouti mwaka huu.
ICC inasema kuwa nchi hizo mbili zilipaswa kumtia nguvuni Bashir kwakuwa zilisaini mkataba na makahama hiyo.
No comments:
Post a Comment